Safi. Kitamu. Kwa Wakati.

Chakula Halisi cha Tanzania

Chakula safi kinapikwa kila asubuhi na kuletwa kazini kwako wakati wa mchana.

  • Agiza kabla ya 10:00 asubuhi
  • Delivery 13:00 – 14:00 · imejumuishwa kwenye bei
  • Tunahudumia Kariakoo · jiko letu Keko, Dar es Salaam
Wali na nyama ya ng'ombe pamoja na mboga za majani

Kwa Nini Farzanah Foods?

Chakula safi. Kinapikwa kila asubuhi Keko.

Kwa wakati. Delivery 13:00 – 14:00.

Bei wazi. Delivery imejumuishwa kwenye bei.

Inavyofanya Kazi

  1. 1. Chagua chakula

    Chagua kwenye menu kabla ya saa 10:00 asubuhi.

  2. 2. Thibitisha oda

    Jaza mahali pa kupeleka na njia ya malipo.

  3. 3. Tunaandaa

    Kinapikwa kipya jikoni letu Keko.

  4. 4. Tunafungasha

    Kila sahani inakaguliwa na kufungashwa vizuri.

  5. 5. Tunawasilisha

    Kinafika kwako 13:00 – 14:00.

  6. 6. Unathibitisha kupokea

    Thibitisha kupokea kwenye ukurasa wa kufuatilia oda.

Oda za Ofisi na Biashara

Tunahudumia timu za kazi, ofisi, maduka na maeneo ya biashara kwa oda za pamoja. Tuandikie WhatsApp na utuambie idadi ya watu, chakula mnachotaka, mahali pa kupeleka na muda unaowafaa — tutapanga nawe oda ya kila siku.

Panga Oda ya Ofisi
  • Ofisi
  • Maduka
  • Maghala
  • Timu za kazi

Umeshaagiza hapo awali?

Rudia oda yako ya mwisho — andika namba ya oda na namba ya simu uliyotumia kuagiza.

Agiza Tena

Eneo la Delivery

Kwa sasa tunahudumia Kariakoo.

  • Kariakoo

Haupo kwenye eneo letu? Tuandikie WhatsApp tuangalie kama tunaweza kukufikishia.

Tuandikie WhatsApp

Una swali au unataka kuagiza kwa WhatsApp?

Tuandikie na tutakujibu wakati wa kazi.

Agiza kwa WhatsApp